Psalms 51:1

Kuomba Msamaha

(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi. Baada Ya Kukemewa Na Nabii Nathani Kwa Kuzini Na Bathsheba)


1 aEe Mungu, unihurumie,
kwa kadiri ya upendo wako usiokoma,
kwa kadiri ya huruma yako kuu,
uyafute makosa yangu.
Copyright information for SwhKC